×

Rais Samia Aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika leo tarehe 04 Machi, 2022 Ikulu Jijini Dar es Salaam.

MAMA KANUMBA AFUNGUKA ALIVYOONA MANDONDOCHA KANISANI kwa MFALME ZUMARIDI, ATAMANI KUIGIZA NA LULU..

Leave a Comment