KATIKA kipindi cha ‘KATAMBUGA’ leo Machi 28, tumepiga stori na muigizaji Steve Nyerere, kuhusiana na uamuzi wake wa kujiuzulu kwenye nafasi ya usemaji wa shirikisho la muziki Tanzania.
KATIKA kipindi cha ‘KATAMBUGA’ leo Machi 28, tumepiga stori na muigizaji Steve Nyerere, kuhusiana na uamuzi wake wa kujiuzulu kwenye nafasi ya usemaji wa shirikisho la muziki Tanzania.