
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu (FIFA) limefungua dirisha la maombi ya tiketi kwa ajili ya Fainali za Kombe la Dunia zitakazochezwa kuanzia Novemba 21 mwaka huu nchini Qatar.
Taarifa hiyo imethibitishwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Tanzania (TFF).
