×

Waziri Mchengerwa Ajiunga Bungeni na Timu ya Taifa ya Walemavu, Tembo Worriors

Tembo Worriors wakiwa Bungeni

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohamed Mchengerwa ameingia Bungeni akiwa pamoja na Timu ya Taifa ya Walemavu Tembo Worriors baada ya kukaribishwa Bungeni na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Tulia Akson ndani ya Ukumbi wa Bunge leo Juni 16, 2022 Dodoma kwa ajili ya kupongezwa baada ya Kufuzu Kumbe la Dunia litakalochezwa nchini India.

 

Katibu Mkuu Dkt. Hassan Abbasi na Viongozi wengine wa wizara walikuwepo katika tukio hilo

 

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohamed Mchengerwa

Leave a Comment