RAIS Samia leo Julai 5, 2022, amefika na kuzindua jengo jipya na la kisasa katika hospitali ya CCBRT ambapo amepata nafasi ya kuzunguka na kukagua jengo hilo, sambamba na kutoa zawadi kwa wanawake waliokutwa wamejifungua katika hospitali hiyo.
RAIS Samia leo Julai 5, 2022, amefika na kuzindua jengo jipya na la kisasa katika hospitali ya CCBRT ambapo amepata nafasi ya kuzunguka na kukagua jengo hilo, sambamba na kutoa zawadi kwa wanawake waliokutwa wamejifungua katika hospitali hiyo.