
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewasili visiwani Pemba leo Julai 15, 2022 kwa ajili ya ziara ya kikazi.

Rais Samia amewasili katika uwanja wa ndege wa Pemba na kupokelewa na viongozi mbalimbali wa chama na Serikali na vikundi mbalimbali vya ngoma za utamaduni.