×

Rais Samia Afunga Mafunzo ya Awali ya Askari wa Uhamiaji Tanga- Video

Rais Samia Suluhu Hassan leo Agosti 15, 2022, amefunga mafunzo ya awali ya askari wa uhamiaji katika chuo cha uhamiaji cha kijeshi Boma Kichakamiba mkoani Tanga.

Leave a Comment