MFALME Charles wa III wa Uingereza leo Septemba 12, 2022 anatarajiwa kuhutubua Bunge la Uingereza kwa mara ya kwanza tangu alipotawazwa kuwa Mfalme kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth II aliyefariki dunia wiki iliyopita
MFALME Charles wa III wa Uingereza leo Septemba 12, 2022 anatarajiwa kuhutubua Bunge la Uingereza kwa mara ya kwanza tangu alipotawazwa kuwa Mfalme kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth II aliyefariki dunia wiki iliyopita