×

Rais wa Zanzibar Afungua Mkutano  wa Pan African Humanitarian & Investment

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Hussein Ali Mwinyi leo Novemba 8, 2022 amefungua Mkutano  wa “7th  Pan African Humanitarian & Investment Summit Zanzibar  2022″ uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege.

Leave a Comment