
Klabu ya Yanga SC imetangaza kumsajili mshambuliaji Kennedy Musonda kutoka klabu ya Power Dynamos.
Musonda (28) raia wa Zambia amesaini mkataba wa miaka miwili na chaguo la nyongeza ya mwaka mmoja zaidi.

Klabu ya Yanga SC imetangaza kumsajili mshambuliaji Kennedy Musonda kutoka klabu ya Power Dynamos.
Musonda (28) raia wa Zambia amesaini mkataba wa miaka miwili na chaguo la nyongeza ya mwaka mmoja zaidi.