Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara amezungumza na waandishi wa habari Mkoani Dodoma ambapo ameshindwa kujizuia na kumwaga machozi kufuatia mgogoro wa ardhi jimboni kwake.
Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara amezungumza na waandishi wa habari Mkoani Dodoma ambapo ameshindwa kujizuia na kumwaga machozi kufuatia mgogoro wa ardhi jimboni kwake.