×

Twaha Kiduku Achezea Kichapo Kutoka Kwa Wellem kutoka Afrika Kusini – (Video + Picha)

Bondia Mtanzania Twaha Kiduku amepokea kichapo dhidi ya Bondia, Asemahle Wellem kutoka Afrika Kusini kwa pointi za majaji katika pambano la raundi 12 lililopigwa Julai 29, 2023  katika ukumbi wa Malaika Beach Resort, Jijini Mwanza.

Bingwa wa WBF Inter-continental ni Asemahle Wellem baada ya kumpiga Twaha Kiduku kwa pointi kufuatia uamuzi wa majaji wote watatu kumpa ushindi.

Leave a Comment