×

Uteuzi: Rais Samia Ateua Wenyeviti Wa Bodi Za Shirika La Reli Na Veta

Ally A Karavina ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Reli Tanzania (TRC). Karavina ni Mtaalamu wa Mipango na Sera za Uchumi wa Usafirishaji

Prof. Sifuni E. Mchome ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA). Mchome ni Mwanasheria, Mwandishi wa Vitabu na Mtafiti wa Masuala ya Sheria

Leave a Comment