Baunsa aliyewahi kupata umaarufu kwa kumlinda staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, Mwarabu Fighter amefunguka mambo mengi kuhusu maisha yake huku akieleza kwamba ana uzito wa kilo 118.
Baunsa aliyewahi kupata umaarufu kwa kumlinda staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, Mwarabu Fighter amefunguka mambo mengi kuhusu maisha yake huku akieleza kwamba ana uzito wa kilo 118.