Klabu ya Simba na Yanga Wamezindua jezi mpya watakazotumia kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika 2023/24.
Simba ipo Kundi B pamoja na timu ya Jwaneng Galaxy, Asec Mimosas na Wydad Athletic ambapo itaanzia nyumbani dhidi ya Asec Novemba katika Uwanja wa Mkapa saa 10:00 jioni.


