Mwanasiasa mkongwe nchini, Profesa Anna Tibaijuka, amewasha moto mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila akipinga hatua ya mwekezaji kujenga kituo cha mafuta kwenye makazi ya watu, eneo la Mikocheni jijini Dar es Salaam.
Mwanasiasa mkongwe nchini, Profesa Anna Tibaijuka, amewasha moto mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila akipinga hatua ya mwekezaji kujenga kituo cha mafuta kwenye makazi ya watu, eneo la Mikocheni jijini Dar es Salaam.