×

Video: Kijana Aliyemuua Mama Yake Na Kumtupa Kwenye Shimo La Choo Arusha Akutwa Na Hatia Ahukumiwa

Kijana Patrick Mmasi(19) Mkazi wa Njiro, anayetuhumiwa kumuua mama yake na kumtupa kwenye shimo la choo amekutwa na hatia.

Leave a Comment