
Klabu ya JS Kabylie ya Algeria imevunja mkataba na mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva kwa makubaliano ya pande zote.
Msuva alijiunga na klabu hiyo Agosti 2023 kwa mkataba wa miaka miwili toka Al Qadisiya ya Saudi Arabia.

Klabu ya JS Kabylie ya Algeria imevunja mkataba na mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva kwa makubaliano ya pande zote.
Msuva alijiunga na klabu hiyo Agosti 2023 kwa mkataba wa miaka miwili toka Al Qadisiya ya Saudi Arabia.