
Klabu ya Yanga SC imethibitisha kumtoa kwa mkopo mshambuliaji wake Hafiz Konkoni ambaye atajiunga na klabu ya Dogan Tûrk Birligi ya Cyprus.
Yanga Sc inatarajiwa kumtangaza mshambuliaji mpya atakayeziba nafasi ya nyota huyo raia wa Ghana.

Klabu ya Yanga SC imethibitisha kumtoa kwa mkopo mshambuliaji wake Hafiz Konkoni ambaye atajiunga na klabu ya Dogan Tûrk Birligi ya Cyprus.
Yanga Sc inatarajiwa kumtangaza mshambuliaji mpya atakayeziba nafasi ya nyota huyo raia wa Ghana.