×

Mkuu wa Jeshi la Polisi Atangaza Nafasi za Ajira kwa Vijana

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania anatangaza nafasi za ajira kwa vijana wenye elimu ya Shahada, Stashahada, Astashahada, Kidato cha Sita na Kidato cha nne.

Kwa maelezo zaidi tembelea tovuti ya Jeshi la Polisi polisi.go.tz

Leave a Comment