Mshambuliaji Prince Dube amefunguka kupitia Global TV kuwa msimu ujao 2024/5 atacheza katika Ligi Kuu Tanzania Bara japo hajasema zaidi ni klabu gani atakayotumikia.
Dube ameyasema hayo akiwa Morogoro katika mchezo wa Kirafiki dhidi ya Timu Job na Timu Kibwana.