×

Waandamanaji Nairobi Wavamia Jengo la Bunge – Video


Tukio hilo limetokea mara tu baada ya Bunge hilo kupitisha mswada wa sheria ya kodi inoongeza kodi katika bidhaa mbalimbali nchini huo.

Mamia ya wabunge hawawezi kuondoka bungeni huku polisi wakiendelea kupambana na waandamanaji ambao wamefika katika majengo hayo.

Ripota wa runinga nchini humo anasema wabunge wengi wamejificha sehemu ya chini ya mejngo ya bunge.

Waandamanaji wameharibu sehemu ya jengo la bunge ambapo moshi mkubwa ulionekana.

Polisi wanajaribu kuwaondoa waandamanaji ambao wamepata kuingia katika majengo ya bunge.

Leave a Comment