Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepitisha kwa kishindo bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2024/2025.
Msikilize Spika Tulia Ackson akielezea matokeo ya kura za wazi zilizopigwa na wabunge.
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepitisha kwa kishindo bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2024/2025.
Msikilize Spika Tulia Ackson akielezea matokeo ya kura za wazi zilizopigwa na wabunge.