
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Pindi Chana kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii akichukua nafasi ya Angellah Kairuki aliyeteuliwa kuwa Mshauri wa Rais
Kabla ya Uteuzi, Dkt. Pindi Chana alikuwa Waziri wa Katiba na Sheria

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Pindi Chana kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii akichukua nafasi ya Angellah Kairuki aliyeteuliwa kuwa Mshauri wa Rais
Kabla ya Uteuzi, Dkt. Pindi Chana alikuwa Waziri wa Katiba na Sheria