
Staa wa filamu za Kibongo ambaye anafanya poa kwenye tamthiliya ya Jua Kali, @zaiylissa amefunguka kuwa kila kukicha anapendeza kwa sababu anatunzwa vilivyo na mumewe na anatunzwa kwa kila kitu kuanzia mavazi na akaongeza kuwa lazima amuonee wivu mumewe kwa sababu anampenda sa