×

Ndugu Wa Tessa Afunguka Ugonjwa Uliomuua Dada’ake, ”Ameacha Watoto 2 -Kaka Amefariki Mwezi Ulopita’ – Video

Marehemu Grace Mapunda almaarufu Tesa

Mdogo wa marehemu Grace Mapunda almaarufu Tesa, Mchungaji Moses Mapunda amefunguka kupitia Global TV na kueleza changamoto iliyokuwa ikimkabili Tesa mpaka ikapelekea umauti.

Leave a Comment