×

Shabiki wa Simba Pasi Milioni: Eto’oo hajabahatisha kuwapa Lionel Ateba – Video

Shabiki wa maarufu wa Simba Pasi Milioni amefunguka kupitia Global Tv na kueleza kuwa, Eto’oo hajabahatisha kuwapa Lionel Ateba kwani anatekeleza jambo lilomleta nchini.

Leave a Comment