×

Nafasi Za Kazi Halmashauri Ya Wilaya Ya Mafia, Mwisho wa maombi Januari 6, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashuri ya Wilaya ya Mafia amepokea Kibali cha Ajira Mpya kwa Ikama ya Mwaka wa Fedha 2023/2024 kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora chenye Kumb. Na. FA.97/288/01/09 cha tarehe 25 Juni, 2024 kwa upande wa nafasi za Msaidizi wa
Kumbukumbu Daraja la II na Kibali cha Ajira Mbadala chenye Kumb.

Na.FA.228/613/01/D/065 cha tarehe 09 Julai,2024 kwa upande wa nafasi ya Mtendaji wa Kijiji Daraja la III. Hivyo Watanzania wote wenye sifa wanatangaziwa kutuma maombi ya kazi kwa nafasi zifuatazo:-

MASKINI! MKE wa JAJI WEREMA AMUAGA kwa MARA ya MWISHO MUMEWE – ANENA MANENO KWENYE JENEZA…

Leave a Comment