
Viongozi mbalimbali wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), leo Januari 10, 2025 wamekutana kwenye kikao cha Kamati Kuu kinachofanyika makao makuu ya chama, Mikocheni jijini Dar es Salaam.




Viongozi mbalimbali wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), leo Januari 10, 2025 wamekutana kwenye kikao cha Kamati Kuu kinachofanyika makao makuu ya chama, Mikocheni jijini Dar es Salaam.


