Moses Mwaijande ni mwanafunzi kutoka Shule ya Sekondari ya Feza aliyeng’ara kwenye matokeo ya kidato cha nne yaliyotangazwa hapo jana, ambapo katika masomo yote 10, amepata daraja A na kumfanya kuwa na matokeo ya jumla ya Divisheni 1 ya point 7.
Moses Mwaijande ni mwanafunzi kutoka Shule ya Sekondari ya Feza aliyeng’ara kwenye matokeo ya kidato cha nne yaliyotangazwa hapo jana, ambapo katika masomo yote 10, amepata daraja A na kumfanya kuwa na matokeo ya jumla ya Divisheni 1 ya point 7.