
Chuo Kikuu cha Mzumbe (MU) kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, kinakaribisha maombi kutoka kwa Watanzania wenye sifa stahiki kujaza jumla ya nafasi 21 za ajira za kitaaluma kwa ngazi za Assistant Lecturer na Tutorial Assistant.Soma zaidi kwa kubonyeza link hapa chini
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHUO KIKUU MZUMBE
NAFASI ZA ASSISTANT LECTURER (PUTS 2.1)
📌 Jumla ya Nafasi: 11
Zinajumuisha fani zifuatazo (kila moja nafasi 1):
-
Economics and Finance
-
Entrepreneurship
-
Marketing
-
Agribusiness
-
Computer Science
-
Economics
-
Environmental / Climate Change Law
-
ICT Law
-
Communication Skills
-
Human Resource Management
-
Accounting and Finance
✔ Sifa Kuu:
-
Shahada ya Uzamili (Master’s Degree) yenye GPA ≥ 4.0/5.0
-
Shahada ya Kwanza (Bachelor’s Degree) yenye GPA ≥ 3.8/5.0
-
B+ au zaidi kwenye Dissertation
-
Kwa Master isiyo na GPA (Research/Thesis only): machapisho angalau 2 kwenye majarida yenye hadhi
NAFASI ZA TUTORIAL ASSISTANT (PUTS 1.1)
📌 Jumla ya Nafasi: 10
Fani na Idadi:
-
Youth Development & Leadership – 2
-
Agribusiness – 2
-
Economics – 2
-
Production & Operation Management – 1
-
Logistics & Supply Chain Management – 1
-
Environmental Management – 1
-
Accounting and Finance – 1
✔ Sifa Kuu:
-
Shahada ya Kwanza husika
-
GPA ≥ 3.8/5.0
-
Tayari kuendelea na Masomo ya Uzamili (Master’s Degree)
MASHARTI YA JUMLA
-
Mwombaji awe Raia wa Tanzania
-
Umri usizidi miaka 45 (isipokuwa waliopo Utumishi wa Umma)
-
Maombi yapitishwe kupitia Recruitment Portal (Ajira.go.tz)
-
Waajiriwa Serikalini waombe kupitia waajiri wao
-
Vyeti vyote viwe vimehakikiwa (certified)
-
Hakuna result slips au partial transcripts
-
Maombi yaandikwe kwa Kiswahili au Kiingereza

