The House of Social Media
gunners X

Waziri Mkuu Afanya Mazungumzo na Waziri wa Nchi Muungano na Mazingira Dodoma

0

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 20,2026 amefanya mazungumzo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais – Muungano na Mazingira, Mhandisi Hamadi Masauni, ofisini kwa Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma.

Viongozi wengine walioshiriki katika mazungumzo hauo ni Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais – Muungano na Mazingira, Dkt. Festo Dugange na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais – Muungano na Mazingira, Dkt. Richard Muyungi.

Leave A Reply