
Wananchi wa Mtaa wa Migungani Kata ya Sokone One jijini Arusha wamefunga barabara ya kuelekea Mnara wa Voda Sombetini baada ya watu 2 kugongwa ndani ya nusu saa na kusababisha wafunge barabara kwa mawe wakitaka kuwekewa matuta.

Wananchi wa Mtaa wa Migungani Kata ya Sokone One jijini Arusha wamefunga barabara ya kuelekea Mnara wa Voda Sombetini baada ya watu 2 kugongwa ndani ya nusu saa na kusababisha wafunge barabara kwa mawe wakitaka kuwekewa matuta.