×

Video+ Picha: Rais Samia Aongoza Kikao Cha Baraza La Mawaziri

Rais Samia Akiongoza Baraza La Mawaziri

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri, tarehe 5 Machi, 2026 Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Leave a Comment