×

Milioni. 500/- Zachangwa na Nmb Kupanua Huduma za Hospitali ya Benjamin Mkapa

Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu (wa pili kulia), akishuhudia makabidhiano ya mfano wa hundi ya Sh. Milioni 250 kati ya Mkurugenzi wa Uhusiano kwa Wawekezaji, Uendelevu na Mawasiliano wa NMB, Innocent Yonazi (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospital

Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu (wa pili kulia), akishuhudia makabidhiano ya mfano wa hundi ya Sh. Milioni 250 kati ya Mkurugenzi wa Uhusiano kwa Wawekezaji, Uendelevu na Mawasiliano wa NMB, Innocent Yonazi (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospital

BENKI ya NMB imeahidi kutoa Sh. milioni 500 kwa kipindi cha miaka miwili kwa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH), kusaidia upanuzi wa huduma za upandikizaji figo na uboho ili kuimarisha huduma za afya za kibingwa nchini.

Leave a Comment