×

Uwanja wa Ndege Washambuliwa Mogadishu

TAARIFA kutoka Somalia zinaeleza kuwa mizinga kadha imerushwa dhidi ya uwanja wa ndege katika mji mkuu, Mogadishu.

Shuhuda wa tukio hilo, anasema skari wa usalama wa Somalia, walipambana kwa risasi, na washambuliaji.

 

Leave a Comment