×

Tanzia: Waziri Harrison Mwakyembe Afiwa Na Mkewe

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe.

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe amepata msiba wa kufiwa na mke wake Bi Linah George Mwakyembe usiku wa kuamkia tarehe 15 Julai, 2017

Bi Linah George Mwakyembe (kulia).

Bi. Linah alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Agha Khan alipokuwa akipatiwa matibabu hadi mauti yalipomkuta.

Facebook @Globalpublishers

Twitter @GlobalHabari

Instagram @GlobalPublishers

YouTube @GlobalTVTZ

Vinara wa Matokeo Kidato cha Sita Hawa Hapa

Feza Girls Yaongoza Matokeo Kidato cha Sita, Shule 10 Hizi Hapa

NECTA Yawafutia Matokeo Wanafunzi 10 wa Kidato cha Sita

Leave a Comment