×

Breaking News

Haya hapa matokeo ya kidato cha nne 2025, Ufaulu Wapanda Hadi 94.98% – Video

Dar es Salaam, Januari 31, 2026 — Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza rasmi matokeo ya Mtihani wa Kidato...

READ MORE

Matokeo ya Form 4 Yanatangazwa na NECTA – Video

  Dar es Salaam, Januari 31, 2026 — Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza rasmi matokeo ya Mtihani wa...

READ MORE

Mmoja Afariki, 12 Wajeruhiwa Ajali ya Lori na Basi Shinyanga – Video

Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 12 kujeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyohusisha roli na basi, iliyotokea leo Januari majira...

READ MORE

Mwanzilishi wa CHADEMA na GAVANA wa Kwanza BOT Afariki Dunia

Gavana wa kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na mwasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edwin Mtei...

READ MORE

Treni za Mwendokasi Zagongana na Kuua Watu 21, Hispania

Takribani watu 21 wamefariki dunia kufuatia ajali mbaya ya treni za mwendokasi iliyotokea kusini mwa Hispania, huku mamlaka za nchi...

READ MORE

Simba Washikwa Shati na Mtibwa Sugar

Na Bakari Mahundu Dakika 90 za mchezo wa kukatana shoka kati ya Simba SC na Mtibwa Sugar zimekamilika kwenye Uwanja...

READ MORE

Mwili wa Marehemu Halima Nassor Ulivyofikishwa Nyumbani Kwake, Kigamboni

Na Bakari H. Mahundu Mwili wa Marehemu Halima Idd Nassor ulivyofikishwa nyumbani kwake Kibada, Kigamboni Dar es Salaam kwaajili ya…

READ MORE

Treni ya Mwendokasi (SGR) Yapata Ajali Eneo la Ruvu

Treni ya Mwendokasi (SGR) imepata ajali leo asubuhi katika eneo la Ruvu, mkoani Pwani, ikiwa inatoka Dar es Salaam kuelekea...

READ MORE

Rais Ruto Amteua Waziri wa Usalama wa Ndani Kithure Kindiki kuwa Naibu Rais

Rais William Ruto amemteua Waziri wa Usalama wa Ndani Kithure Kindiki kuwa Naibu Rais ajaye kufuatia kutimuliwa kwa Rigathi Gachagua...

READ MORE

Rais Samia Atoa Maagizo Kuhusu Ngorongoro

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewahakikishia wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi na Uhamisho wa Viongozi Mbalimbali – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali ambapo...

READ MORE

Rais wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi afariki dunia akiwa na miaka 98

ais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametangaza kifo cha Mzee Ali Hassan Mwinyi (98), Rais wa awamu ya pili wa...

READ MORE

Viongozi Sita wa CCM Wafariki kwa Ajali ya Gari eneo la Ndulamo

Viongozi sita wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamefariki dunia kwa ajali ya gari eneo la Ndulamo wakati wakitoka kwenye mkutano...

READ MORE

Breaking: Bernard Membe Afariki Dunia Baada ya Kuugua Kwa Muda Mfupi

  Habari mbaya zilizotufikia hivi punde leo Mei 12, 2023 zinaeleza kuwa, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Kamilius...

READ MORE

Bonge la Ofa: Safiri Bure na Chapride Kila Wikiendi Jumamosi na Jumapili Ndani Dar

Wikiendi ishafika si ndiyo? Kwa nini sasa umekaa kinyonge? Chapride inakupa bonge la ofa itakayoifanya wikiendi yako iwe burudani! Unataka...

READ MORE

Mwanamuziki wa Marekani R.Kelly Afungwa Miaka 30 Gerezani

Jaji wa mahakama ya Serikali kuu nchini Marekani imempa mwanamuziki R. Kelly kifungo cha miaka 20 jela, baada ya kupatikana...

READ MORE

Bunge la Russia Laidhinisha Hatua ya Putin Kusitisha Ushirikiano na Marekani

Mabaraza mawili ya bunge la Russia Jumatano yameidhinisha hatua ya Rais Vladimir Putin ya kusitisha ushiriki wa Moscow katika mkataba...

READ MORE

Msanii Maarufu nchini Afrika kusini, Kiernan Jarryd Forbes ‘AKA’ Afariki Dunia

Msanii maarufu kutokea nchini Afrika Kusini, Kiernan Jarryd Forbes ‘AKA’ ameripotiwa kufariki dunia kwa kupigwa risasi tano yeye pamoja na...

READ MORE

Breaking: Ndege Ya Precision Air Yapata Hitilafu Ikiruka Dar Kwenda Dodoma, Nyingine Yatua Kwa Dharura

Ndege mbili za Shirika la Ndege la Precision Air zimeshindwa kufanya safari zake kama kawaida baada ya ndege moja kupata...

READ MORE

Matokeo Walioshinda Nafasi ya Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi Simba – Video

Walioshinda nafasi ya wajumbe watano wa Bodi ya Wakurugenzi wa Klabu ya Simba katika uchaguzi uliofanyika jana Januari 29 na...

READ MORE

Murtaza Mangungu Ashinda kiti cha Uenyekiti Simba kwa Mara Nyingine – Video

Murtaza Mangungu ameshinda kiti cha Uenyekiti wa klabu ya Simba kwa mara nyingine tena akimpiga chini mgombea Mwenza Moses Kaluwa...

READ MORE

Breaking: Rais Samia Atengua Uteuzi wa Diwani Athumani Katibu Mkuu Ikulu

Rais Samia Suluhu Hassan leo Januari 5, 2023 ametengua uteuzi Kamishna Diwani Athumani Msuya aliyemteua Januari 3, 2023 kuwa Katibu...

READ MORE

Papa Benedict XVI Afariki Dunia Akiwa na Umri wa Miaka 95

    Papa wa zamani Benedict XVI amefariki dunia katika makazi yake Vatican, akiwa na umri wa miaka 95, karibu...

READ MORE

Mfalme wa soka Duniani Pele Afariki Dunia Akiwa na Umri wa miaka 82 – Video

Pele, mchezaji mashuhuri wa soka wa Brazil aliyeondoka kwenye umaskini wa kutembea peku peku hadi kuwa mmoja wa wanasoka wakubwa...

READ MORE

Breaking News: Kocha Mkwasa wa Ruvu Shooting Ajiuzulu, Atoa Fursa kwa Viongozi Kutafuta Mbadala Wake

KOCHA MKUU wa Klabu ya Ruvu Shooting, Charles Boniface Mkwasa amejiuzulu kuifundisha timu hiyo kutokana na mfululizo wa matokeo mabaya...

READ MORE

Breaking News: Watu Saba Wafariki kwa Ajali Wilayani Kiteto Mkoani Manyara

  Watu sita ambao ni watumishi wa serikali ya wilaya ya Kiteto Mkoani Manyara Idara ya afya na elimu wamefariki...

READ MORE

Miili 19 Ajali ya Ndege ya Ziwa Victoria Yatambuliwa, RC Chalamila Ataja Majina, Wamo Marubani -Video

MIILI 19 ikiwa ni pamoja na wanafamilia wawili na Mchina mmoja iliyopatikana kwenye eneo la ajali ya ndege ya abiria...

READ MORE

Updates: Ndege ya Precision Air Yaanguka Bukoba, 26 Waokolewa Kati ya 43 -Video

  Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila amesema Ndege ya Precision Air iliyopata ajali wakati wa kutua Bukoba leo...

READ MORE

Yanga Yapangwa Kucheza na Club Africain ya Tunisia Kombe la Shirikisho

Ratiba ya Kombe la Shirikisho barani Afrika  leo Oktoba 18, 2022 imetangazwa ambapo mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC kutoka...

READ MORE

Rais Samia Suluhu Amteua Wakili Mkuu na Naibu Wakili Mkuu wa Serikali

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Wakili Mkuu wa Serikali na...

READ MORE

Mbatia Atimuliwa Uanachama NCCR Mageuzi kwa Tuhuma za Ubadhilifu wa Mali za Chama

MKUTANO mkuu wa Chama cha NCCR Mageuzi umemtimua uanachama aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho Taifa, James Mbatia na kumvua uongozi...

READ MORE

Rais Samia Atangaza Siku 5 za Maombolezo, Kufuatia Kifo cha Malkia Elizabeth II wa Uingereza

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Samia Suluhu Hassan, ametangaza siku tano za maombolezo ya kitaifa kufuatia kifo cha...

READ MORE

Kim Poulsen Atimuliwa Kuwa Kocha wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limefikia makubaliano ya kumuondoa kocha wa Timu ya Taifa, Taifa Stars, Kim Poulsen...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi wa Wenyeviti wa Bodi TASAF na Bodi ya Uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:   Amemteua Bw. Peter Ilomo...

READ MORE

Breaking News: Mmoja wa Pacha Waliotenganishwa Muhimbili Aitwaye Neema Afariki Dunia

MMOJA wa pacha aitwaye Neema waliotenganishwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili amefariki dunia Julai 10, 2022. Aidha mwenzake aitwaye Rehema...

READ MORE

Msanii Mkongwe wa Filamu Bi Hindu Afariki Dunia Baada ya Kuugua kwa Muda Mrefu

MSANII wa filamu mkongwe na mtangazaji, Chuma Suleiman almaarufu Bi Hindu, amefariki dunia asubuhi hii, nyumbani kwake, Magomeni jijini Dar...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Zamani wa Japan Afariki Dunia Baada ya Kupigwa Risasi

WAZIRI  Mkuu wa zamani wa Japan Shinzo Abe aliyepigwa risasi mbili wakati akihutubia katika kampeni ya uchaguzi katika mji wa...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Japan Apigwa Risasi Wakati Akitoa Hotoba, Mtuhumiwa Atiwa Mbaroni

WAZIRI Mkuu wa zamani wa Japan Shinzo Abe amepigwa risasi wakati akitoa hotuba katika hafla moja mjini Nara, Abe alipigwa...

READ MORE

Breaking: Matokeo ya Kidato cha Sita na Ualimu Yatangazwa, Yatazame Hapa

  BARAZA la Mitihani la Tanzania leo tarehe 5/07/2022 limetangaza matokeo ya Mitihani ya Kidato cha Sita na Ualimu 2022....

READ MORE

Breaking: Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu (U.A.E) Sheikh Khalifa Bin Zayed Afariki

  Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu (U.A.E) Sheikh Khalifa bin Zayed Al Nahyan amefariki, shirika la habari la...

READ MORE