



KAMPUNI ya simu za mkononi ya Halotel kwa kushirikiana na taasisi ya kifedha ya MERCY CORPS leo wameanzisha mpango maalum wa kuwawezesha wakulima nchini kujiinua kiuchumu na kuboresha shughuli zao kwa kutumia mtandao wa Halopesa.
Kupitia Halopesa wakulima wataweza kupata mikopo na elimu.
Kampuni hizo mbili zimefikia makubaliano ya kutoa huduma hiyo na kutiliana saini mbele ya wanahabari kwenye hafla iliyofanyika makao makuu ya Halotel, eneo la Victoria, jijini Dar.
(PICHA NA RICHARD BUKOS / GPL)