UCHAGUZI KENYA: RAILA AMOLO ODINGA AU UHURU KENYATTA?
MIAKA kumi iliyopita, Kenya ilishuhudia vurugu kubwa zilizosababishwa na uchaguzi. Ni vurugu hizo, pengine ndizo zilipelekea Wakenya watengeneze misingi imara ili kuepuka kujirudia kwa ghasia zile katika chaguzi zingine.
Hivi sasa, uchaguzi mkuu nchini Kenya unategemewa kufanyika tarehe 8 Agosti mwaka huu. Siku hiyo, Wakenya watamchagua rais wamtakaye. Ukizitazama harakati zilizopo kuelekea uchaguzi utagundua kwamba, jicho linatupwa kwa Raila Odinga na mwenzake Uhuru Kenyatta ambaye kwa wakati huu, ndiye rais.
Raila Odinga, kinara wa chama cha CORD, ni… BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
[…] uhuru mpaka hii leo, Tanzania imepita katika nyakati kinzani huku ikipambana na changamoto lukuki […]