The House of Favourite Newspapers

Vigezo 10 Vilivyotajwa na HESLB kwa Wanafunzi Wanaoomba Mikopo

0
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu imetangaza mwongozo na vigezo vya utoaji mikopo na ruzuku kwa mwaka wa masomo 2017/2018 na imeanza kupokea maombi ya mikopo kuanzia tarehe 6 Agosti 2017 hadi tarehe 4 Septemba, 2017.
 
Waombaji wote wa mikopo watarajiwa wanasisitizwa kusoma mwongozo wa utoaji mikopo na ruzuku kwa mwaka wa masomo 2017/2018 pamoja na taratibu nyingine za uombaji mkopo kabla ya kujaza fomu za maombi ya mkopo zinazopatikana kwenye mtandao wa https://olas.heslb.go.tz
Kusoma mwongozo na vigezo vya utoaji mikopo na ruzuku kwa mwaka wa masomo 2017/2018 bofya ===> HAPA
 
Kusoma hatua za kufuata kufanya maombi ya mkopo na malipo bofya ===> HAPA
 
Hapo chini ni sifa za msingi za mwombaji wa mkopo;

LIVE: Rais Magufuli Akizindua Stendi Mpya ya Mabasi Korogwe -Tanga

Leave A Reply