Rais Jacob Zuma aponea chupchup kung’olewa madarakani baada ya Wabunge wengi wa chama tawala, kumuunga mkono kura za kutokuwa na imani naye. pic.twitter.com/wDFWVRGDW5
— Global Publishers (@GlobalHabari) August 8, 2017
Kura za kutokuwa na imani na Rais @SAPresident;
Kura zilizopigwa- 384
Kura za ndiyo- 177
Kura za hapana- 198
Kura zilizoharibika- 9. pic.twitter.com/WHH5Mq5Gav— Global Publishers (@GlobalHabari) August 8, 2017
Katika kura zilizopigwa, imeonyesha kuwa wabunge 40 wa chama tawala cha ANC wametaka Jacob Zuma ang’oke madarakani. pic.twitter.com/KCxHWKgtgX
— Global Publishers (@GlobalHabari) August 8, 2017