
Hapa nimekuwekea picha za wasanii walioibuka kwenye red carpet wakati wa hafla ya utoaji Tuzo za Muziki za Kimataifa za Grammy usiku wa kuamkia leo.

• Bruno Mars ndiye alikuwa kinara kwa kunyakua Tuzo sita zikiwemo Album of The Year, Record of the Year na Song of The Year.

• Kendrick Lamar alikimbiza kwenye muziki wa rap na Cara akaibuka kidedea kipengele cha msanii anayechipukia.




