Diwani wa Chama cha Wananchi (CUF) Viti Maalum, Rukaiya M. Ally amejiuzulu nafasi yake ya udiwani kutoka kwa madai ya kukosa ushirikiano ndani ya chama hicho kuanzia ngazi ya tawi hadi taifa.


Diwani wa Chama cha Wananchi (CUF) Viti Maalum, Rukaiya M. Ally amejiuzulu nafasi yake ya udiwani kutoka kwa madai ya kukosa ushirikiano ndani ya chama hicho kuanzia ngazi ya tawi hadi taifa.

