The House of Favourite Newspapers

KATIBU MKUU MAJI NA UMWAGILIAJI ATEKELEZA MAAGIZO YA RAIS MAGUFULI

Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji Profesa Kitila Mkumbo.

 

Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji Profesa Kitila Mkumbo jana tarehe 5 Mei 2018 alifika katika Kijiji cha Tundu, Kata ya Kidodi katika kutekeleza agizo la Rais Magufuli.

Comments are closed.