×

MAJALIWA AKUTANA NA ASKOFU MKUU WA EAGT DKT. MWAKIPESILE

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Askofu Mkuu wa Kanisa la EAGT, Dkt. Brown  Mwakipesile, Ofisini kwa Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma, Mei 12, 2018. 

 

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amekutana na kufanya mazungumza na Askofu Mkuu wa Kanisa la  Evangelistic Assemblies Of God Tanzania (EAGT), Dkt. Brown  Mwakipesile, Ofisini kwake, Mlimwa jijini Dodoma, leo Mei 12, 2018.

 

PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU.