Kikosi cha timu ya taifa ya Argentina kimeshindwa kutamba mbele ya Croatia baada ya kukumbana na kichapo cha mabao 3-0.

Mabao ya mchezo huo wa kundi D yaliwekwa kimiani na Luca Modric, Ivan Rakitic na Ante Rebic.
Kufuatia kichapo hicho walichokipata Argentina kinawafanya wasalie na alama moja waliyoipata dhidi ya Iceland baada ya kwenda sare ya 1-1 wakiwa nafasi ya 3.

Nyota wa timu hiyo, Lionel Messi alionekana kuwa na machungu kufuatia kichapo hicho ambacho ni kama dhamaha kubwa kwake.
Messi ambaye amepewa nafasi kubwa zaidi ya kuisaidia Argentina ameshindwa kufunga bao lolote mpaka sasa katika michezo miwili ambayo timu hiyo imeshacheza.

Argentina (3-4-3): Caballero 4; Tagliafico 4, Otamendi 5, Mercado 4.5; Acuna 4, Mascherano 5.5, Perez 6 (Dybala 68), Salvio 6 (Pavon 56); Meza 6, Aguero 5.5 (Higuain 54), Messi 6
Subs not used: Guzman, Ansaldi, Biglia, Fazio, Banega, Di Maria, Rojo, Lo Celso, Armani
Booked: Mercado, Acuna, Otamendi
Manager: Jorge Sampaoli 4
Croatia (4-2-3-1): Subasic 6.5; Vrsaljko 6, Lovren 7.5, Vida 7, Strinic 6.5; Modric 8, Brozovic 6.5; Rakitic 7.5, Rebic 6 (Kramaric 57, 6), Perisic 7.5 (Kovacic 82, 6); Mandzukic 6.5 (Corluka 90+2)
Subs not used: Livakovic, Jedvaj, Bradaric, Caleta-Car, Badelj, Pjaca, Pivaric, Lovre Kalinic
Goalscorers: Rebic 53, Modric 80, Rakitic 90+1
Booked: Rebic, Mandzukic, Vrsaljko, Corluka
Manager: Zlatko Dalic 7
Referee: Ravshan Irmatov 6
Attendance: 43,318
Match rating: 8
