Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wameandaa hafla maalum ya kuhamasisha wananchi kuhusiana na umuhimu wa kuchangia pesa kwa ajili ya kuwasaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu.
Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wameandaa hafla maalum ya kuhamasisha wananchi kuhusiana na umuhimu wa kuchangia pesa kwa ajili ya kuwasaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu.