Muigizaji maarufu Bongo ambaye kwa sasa ameokoka, Muna Love, amepanga kutoa ushuhuda wa maisha yake siku ya Jumamosi katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar Kuanzia Saa nne hadi saa 12 Asubuhi.
Muigizaji maarufu Bongo ambaye kwa sasa ameokoka, Muna Love, amepanga kutoa ushuhuda wa maisha yake siku ya Jumamosi katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar Kuanzia Saa nne hadi saa 12 Asubuhi.