
Kufuatia ajali ya kuzama kwa kivuko cha MV Nyerere iliyotikea tarehe 20 Septemba, 2018 katika ziwa Victoria, Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ameivunja Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Ufundi na Umeme (TAMESA)


Kufuatia ajali ya kuzama kwa kivuko cha MV Nyerere iliyotikea tarehe 20 Septemba, 2018 katika ziwa Victoria, Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ameivunja Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Ufundi na Umeme (TAMESA)
